Form 2 Kiswahili – UTUNGAJI WA KAZI ZA FASIHI SIMULIZI
Kwa kawaida mshairi anapotunga shairi / wimbo hutoa hisia yake au maoni yake juu ya jambo fulani. Mambo hayo hutolewa kufuatana na jinsi anavyoliona jambo lile na...
Kwa kawaida mshairi anapotunga shairi / wimbo hutoa hisia yake au maoni yake juu ya jambo fulani. Mambo hayo hutolewa kufuatana na jinsi anavyoliona jambo lile na...
MAANA YA KUHAKIKI Kuhakiki kwa mujibu wa Njogo na Chimerah (1999) ni kupata hakika na ukweli wa jambo. Wanaoendelea kusema kuwa, uhakiki ni uchambuzi wenye kina wamepata...
Utungaji wa kazi za fasihi andishi ni mada inayogusa au inayohusu ubunifu wa maandishi. Kubuni ni kutunga kisa kutokana na matukio ambayo mwandishi ana uzoefu nayo kupitia...
UFAHAMU Ufahamu Ni hali ya kulijua na kulielewa jambo kwa usahihi na kuweza kulielezea kwa ufasaha bila kupoteza maana yake ya msingi Au. Ni kujua na kuelewa...
Matangazo ni habari za kijamii katika vyombo vya habari kwa lengo la kushawishi au kutoa taarifa kwa jamii ili kununua, kuuza au kupata taarifa iliyokusudiwa kwa muhtasari....
USIMULIZI – Ni maelezo yanayotolewa kuhusu tukio au matukio yaliyotokea ambayo yanaweza kuwa mema au mabaya AU – Ni kitendo cha kutoa masimulizi juu ya mfululizo wa...
Fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mdomo katika kuumbwa, kuwasilishwa na kusambazwa kwa wasikilizaji na watumiaji wake. Fasihi simulizi ndiyo fasihi ya awali,...
Uundaji wa maneno ni shughuli ya kuunganisha viambajengo (vipashio) mbalimbali ili kupata maneno tofauti yenye maana mbalimbali ambazo ni kamili. Kwa kuwa maendeleo ya jamii hubadilika, hukua...
Kila lugha Ina asili yake. Lugha huwepo ili kukidhi haja ya mahitaji ya kimawasiliano ya jamii inayohusika Lugha ya asili ya jamii yoyote ile hutupa picha halisi...
Tungo – Ni neno au maneno yanayotoa taarifa fulani ambayo yanaweza kuwa kamili au yasiwe kamili. Neno hili tungo ni nomino ambayo hutokana na kitenzi ‘tunga’ ambacho...